Skip to content
Mwanzo 6:11-12

Mwanzo 6:11-12

11
Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu na ukatili machoni pa Mungu.
12
Mungu akaona jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote duniani walikuwa wameharibu njia zao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options