Skip to content
Mwanzo 50:5-6

Mwanzo 50:5-6

5
‘Baba yangu aliniapisha na kuniambia, “Mimi niko karibu kufa; unizike katika kaburi lile nililochimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani.” Sasa nakuomba uniruhusu niende kumzika baba yangu, nami nitarudi.’ ”
6
Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options