Skip to content
Mwanzo 50:19-21

Mwanzo 50:19-21

19
Lakini Yosefu akawaambia, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu?
20
Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi.
21
Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawahakikishia na kusema nao kwa wema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options