Skip to content
Mwanzo 44:1-3

Mwanzo 44:1-3

1
Kisha Yosefu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: “Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.
2
Kisha weka kikombe changu kile cha fedha kwenye mdomo wa gunia la yule mdogo wa wote pamoja na fedha zake ambazo angenunulia nafaka yake.” Naye akafanya kama Yosefu alivyosema.
3
Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwa kuondoka pamoja na punda zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options