Ugrás a tartalomhoz
Mwanzo 41:38-39

Mwanzo 41:38-39

38
Hivyo Farao akawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, ambaye Roho wa Mungu yumo ndani yake?”
39
Ndipo Farao akamwambia Yosefu, “Maadamu Mungu amekufunulia yote haya, hakuna mwingine yeyote mwenye akili na hekima kama wewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options