Skip to content
Mwanzo 40:3-4

Mwanzo 40:3-4

3
akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yosefu.
4
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options