ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Mwanzo 40:14-15

Mwanzo 40:14-15

14
Lakini wakati mambo yatakapokuwia mazuri, unikumbuke, unifanyie wema, useme mema juu yangu kwa Farao ili niondoke huku gerezani.
15
Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvu kutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa nilipo sikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options