Mwanzo 40:12-13
12
Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Matawi matatu ni siku tatu.
13
Katika siku hizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuweka tena kwenye nafasi yako, nawe utaweka kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vile ulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshaji wake.