Skip to content
Mwanzo 4:11-12

Mwanzo 4:11-12

11
Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.
12
Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options