Skip to content
Mwanzo 34:6-7

Mwanzo 34:6-7

6
Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.
7
Basi wana wa Yakobo walikuwa wamerudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotokea. Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa kufanyika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options