Skip to content
Mwanzo 29:26-27

Mwanzo 29:26-27

26
Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
27
Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options