Mwanzo 27:35-36
35
Lakini akasema, “Ndugu yako amekuja kwa udanganyifu na akachukua baraka yako.”
36
Esau akasema, “Si ndiyo sababu anaitwa Yakobo? Amenidanganya mara hizi mbili: Alichukua haki yangu ya kuzaliwa na sasa amechukua baraka yangu!” Kisha akauliza, “Hukubakiza hata baraka moja kwa ajili yangu?”