Skip to content
Mwanzo 27:15-16

Mwanzo 27:15-16

15
Kisha Rebeka akachukua nguo nzuri za Esau mwanawe wa kwanza, alizokuwa nazo nyumbani, akamvika Yakobo mwanawe mdogo.
16
Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options