Mwanzo 26:17-18
17
Basi Isaki akatoka huko akajenga kambi katika Bonde la Gerari, akaishi huko.
18
Ndipo Isaki akavichimbua tena vile visima vya maji ambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamu baba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya kufa Abrahamu, akavipa majina yale yale ambayo baba yake alikuwa amevipa.