تخطَّ إلى المحتوى
Mwanzo 23:10-11

Mwanzo 23:10-11

10
Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.
11
“La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake. Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options