Skip to content
Mwanzo 21:30-31

Mwanzo 21:30-31

30
Abrahamu akamjibu, “Upokee hawa kondoo wa kike saba kutoka mkononi mwangu kama ushahidi kuwa nilichimba kisima hiki.”
31
Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options