Skip to content
Mwanzo 20:4-5

Mwanzo 20:4-5

4
Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia?
5
Hakusema kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu’? Nimefanya haya kwa dhamiri njema na mikono safi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options