Skip to content
Mwanzo 2:1-2

Mwanzo 2:1-2

1
Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.
2
Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options