Mwanzo 17:9-11
9
Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wako, lazima ushike Agano langu, wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo.
10
Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.
11
Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.
Settings