Skip to content
Mwanzo 17:10-11

Mwanzo 17:10-11

10
Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.
11
Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options