Skip to content
Mwanzo 17:10-11

Mwanzo 17:10-11

10
Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.
11
Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options