Skip to content
Mwanzo 15:5-6

Mwanzo 15:5-6

5
Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”
6
Abramu akamwamini Bwana, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options