Skip to content
Mwanzo 12:12-13

Mwanzo 12:12-13

12
Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai.
13
Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options