Skip to content
Mwanzo 1:21-23

Mwanzo 1:21-23

21
Kwa hiyo Mungu akaumba viumbe wakubwa wa baharini na kila kiumbe hai kiendacho majini kulingana na aina zake, na kila ndege mwenye mabawa kulingana na aina yake. Mungu akaona kuwa hili ni jema.
22
Mungu akavibariki, akasema, “Zaeni mwongezeke, mkayajaze maji ya bahari, nao ndege waongezeke katika dunia.”
23
Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options