Skip to content
Mwanzo 1:14-15

Mwanzo 1:14-15

14
Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka,
15
nayo iwe mianga kwenye nafasi ya anga ya kutia nuru juu ya dunia.” Ikawa hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options