Skip to content
Wagalatia 3:24-25

Wagalatia 3:24-25

24
Hivyo, sheria ilikuwa kiongozi kutufikisha kwa Kristo, ili tupate kuhesabiwa haki kwa imani.
25
Lakini sasa kwa kuwa ile imani imekuja, hatusimamiwi tena na sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options