Wagalatia 3:23-25
23
Kabla imani hii haijaja tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ile imani ifunuliwe.
24
Hivyo, sheria ilikuwa kiongozi kutufikisha kwa Kristo, ili tupate kuhesabiwa haki kwa imani.
25
Lakini sasa kwa kuwa ile imani imekuja, hatusimamiwi tena na sheria.