Skip to content
Wagalatia 3:23-24

Wagalatia 3:23-24

23
Kabla imani hii haijaja tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ile imani ifunuliwe.
24
Hivyo, sheria ilikuwa kiongozi kutufikisha kwa Kristo, ili tupate kuhesabiwa haki kwa imani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options