Skip to content
Wagalatia 3:11-12

Wagalatia 3:11-12

11
Basi ni dhahiri kwamba hakuna mtu anayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa kushikilia sheria, kwa maana, “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
12
Lakini sheria haitegemei imani. Kinyume chake, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options