Skip to content
Ezekieli 8:14-15

Ezekieli 8:14-15

14
Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.
15
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options