Skip to content
Ezekieli 48:6-7

Ezekieli 48:6-7

6
“Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
7
“Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options