Skip to content
Ezekieli 39:21-22

Ezekieli 39:21-22

21
“Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.
22
Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options