Przejdź do treści
Ezekieli 37:26-27

Ezekieli 37:26-27

26
Nitafanya nao Agano la amani, litakuwa Agano la milele. Nitawafanya imara na kuongeza idadi yao, nami nitaweka mahali patakatifu pangu miongoni mwao milele.
27
Maskani yangu yatakuwa pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options