Skip to content
Ezekieli 37:1-2

Ezekieli 37:1-2

1
Mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanitoa nje kwa Roho wa Bwana na kuniweka katikati ya bonde lililokuwa limejaa mifupa tele.
2
Akanipitisha pande zote kwenye hiyo mifupa, nami nikaona mifupa mingi sana ndani ya lile bonde, mifupa iliyokuwa imekauka sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options