Skip to content
Ezekieli 34:1-2

Ezekieli 34:1-2

1
Neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options