Skip to content
Ezekieli 3:1-3

Ezekieli 3:1-3

1
Naye akaniambia, “Mwanadamu, kula kile kilichoko mbele yako, kula huu ukurasa wa kitabu, kisha uende ukaseme na nyumba ya Israeli.”
2
Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.
3
Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options