Skip to content
Ezekieli 29:6-7

Ezekieli 29:6-7

6
Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana. “ ‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli.
7
Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options