Skip to content
Ezekieli 29:1-2

Ezekieli 29:1-2

1
Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options