Skip to content
Ezekieli 24:7-8

Ezekieli 24:7-8

7
“ ‘Kwa kuwa damu aliyoimwaga ipo katikati yake: huyo mwanamke aliimwaga juu ya mwamba ulio wazi; hakuimwaga kwenye ardhi, ambako vumbi lingeifunika.
8
Kuchochea ghadhabu na kulipiza kisasi, nimemwaga damu yake juu ya mwamba ulio wazi, ili isifunikwe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options