Skip to content
Ezekieli 22:13-14

Ezekieli 22:13-14

13
“ ‘Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga ndani yako.
14
Je, ujasiri wako utadumu au mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo nitakapokushughulikia? Mimi Bwana nimesema na nitalifanya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options