Skip to content
Ezekieli 20:18-19

Ezekieli 20:18-19

18
Niliwaambia watoto wao kule jangwani, “Msifuate amri za baba zenu wala kushika sheria zao au kujinajisi kwa sanamu zao.
19
Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, fuateni amri zangu tena kuweni waangalifu kushika sheria zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options