Skip to content
Ezekieli 18:27-28

Ezekieli 18:27-28

27
Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.
28
Kwa kuwa anayafikiria na kugeuka kutoka makosa yake yote aliyoyatenda na kuyaacha, hakika ataishi, hatakufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options