Skip to content
Ezekieli 15:2-3

Ezekieli 15:2-3

2
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
3
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options