Skip to content
Ezekieli 14:12-13

Ezekieli 14:12-13

12
Neno la Bwana likanijia kusema,
13
“Mwanadamu, kama nchi itanitenda dhambi kwa kutokuwa waaminifu nami nikinyoosha mkono wangu dhidi yake kukatilia mbali upatikanaji wake wa chakula na kuipelekea njaa na kuua watu wake na wanyama wao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options