Skip to content
Ezekieli 14:1-3

Ezekieli 14:1-3

1
Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu.
2
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
3
“Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lolote?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options