Ezekieli 14:1-3
1
Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu.
2
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
3
“Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lolote?