Skip to content
Ezekieli 12:1-2

Ezekieli 12:1-2

1
Neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options