Skip to content
Ezekieli 12:1-2

Ezekieli 12:1-2

1
Neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options