Skip to content
Kutoka 7:11-12

Kutoka 7:11-12

11
Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao.
12
Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options