Skip to content
Kutoka 6:2-5

Kutoka 6:2-5

2
Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana.
3
Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
4
Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.
5
Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options