Kutoka 6:2-4
2
Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana.
3
Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
4
Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.