Skip to content
Kutoka 5:6-7

Kutoka 5:6-7

6
Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:
7
“Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options