Kutoka 5:20-21
20
Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,
21
wakawaambia Mose na Aroni, “Bwana na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”